rhumba-tz.com

SANAA

  • JFK BAND
  • Daily Kiswahili Joke
  • Interviews
  • Iringa
  • Muziki Muziki
By rhumbatz on February 24, 2021 • ( Leave a comment )

NIMEAMKA TENA

BAADA YA KIMYA KIREFU NIMEAMKA TENA

By rhumbatz on September 13, 2020 • ( 2 Comments )

LEO NIMEKUMBUKA MJI WA IRINGA NILIPOKUWA MTOTO sehemu ya 41

Kwa wale walionaza kufatilia mikasa yangu tangu mwanzo watakumbuka kuwa nilianza kumpenda ‘mchumba’ wa kwanza wakati nikiwa aidha nursery au darasa la kwanza. Mchumba wangu huyu alikuwa mwanafunzi pale Iringa […]

By rhumbatz on September 10, 2020 • ( Leave a comment )

LEO NIMEKUMBUKA MJI WA IRINGA NILIPOKUWA MTOTO sehemu ya 40

Mji wa Iringa ni mji ambao ni wa watu mchanganyiko kihistoria. Tofauti na historia za miji mingi Tanzania, mji wa Iringa kwanza haukuanzishwa na kabila moja, ni mji wenye historia ya kuchangamsha ambayo ingeweza kutengeneza filamu yenye mvuto mkubwa. Jina la kwanza la mji huu lilikuwa Neu Iringa, likimananisha Iringa […]

By rhumbatz on September 8, 2020 • ( 1 Comment )

HISTORIA FUPI YA TANCUT ALMASI ORCHESTRA

BAADA ya bendi kongwe ya Highland Stars kusambaratika mwishoni mwa miaka ya 60, Iringa haikuwa tena na bendi yoyote ya maana, mpaka ilipokuja kuzaliwa bendi ya shule ya Mkwawa, bendi […]

By rhumbatz on September 7, 2020 • ( 1 Comment )

LEO NIMEKUMBUKA MJI WA IRINGA NILIPOKUWA MTOTO sehemu ya 39

Kama kawaida ya watoto wote duniani, watoto wa Iringa tulikuwa na michezo mingi sana, mingine ya salama mingine hatari kabisa. Wakati tukiwa wadogo hatujui hili wala lile tulicheza sana mchezo […]

By rhumbatz on September 5, 2020 • ( 3 Comments )

LEO NIMEKUMBUKA MJI WA IRINGA NILIPOKUWA MTOTO sehemu ya 38

Muziki wa soul ulianza kuingia Iringa mwaka 1968 hivi. Nilianza kusikia santuri za muziki wa soul nyumbani kwa rafiki yangu John Silva. Baba yake John Silva ndie aliyekuwa Fundi Mkuu […]

By rhumbatz on September 4, 2020 • ( Leave a comment )

KICHEKESHO CHA LEO 1

Mke alikwenda kulalamika kwa mumewe kuwa kuna jamaa mgeni jirani kamtukana kuwa ana mdomo kama tairi la trekta. Mume akapandisha na kuapa kutoa adhabu kali sana atakapokutana na huyo mshenzi. […]

By rhumbatz on September 4, 2020 • ( Leave a comment )

LEO NIMEKUMBUKA MJI WA IRINGA NILIPOKUWA MTOTO sehemu ya 36

NILIPOKUWA na umri wa miaka mitano hivi tulisindikizana na baba kwenye duka la Mhindi mmoja alikuwa akiitwa Fateharis, katika duka lake pia kulikuwa kukiuzwa vitu vya kuchezea watoto, lakini kilichonikaa […]

By rhumbatz on September 3, 2020 • ( 3 Comments )

LEO NIMEKUMBUKA MJI WA IRINGA NILIPOKUWA MTOTO sehemu ya 35

KUMBUKUMBU za waalimu wa sekondari nyingi, nianze na Mr Jiran, huyu alikuwa mwalimu Mhindi, aliyekuwa na tabia ya kikohozi na kutema mate hata katikati ya kipindi, alikuwa mwalimu mzuri sana […]

By rhumbatz on September 2, 2020 • ( Leave a comment )

LEO NIMEKUMBUKA MJI WA IRINGA NILIPOKUWA MTOTO sehemu ya 34

Katika makala hizi si mara nyingi nimetaja wasichana, nilipokuwa mdogo wasichana walikuwa na yao na wavulana na yetu. Ila naweza kukumbuka baadhi ya mambo yenye kumbukumbu yaliyojitokeza yaliyohusu wasichana. Jambo […]

1 2 3 4 5 6 7 8 9 Older ›

WADAU

  • 20,189 hits

VIDEO ZETU

https://www.youtube.com/watch?v=mVhLujmTLQg

BURUDIKA HAPA

Follow Us

  • Facebook
  • X
  • Instagram
Blog at WordPress.com. |
rhumba-tz.com
Blog at WordPress.com.
  • Subscribe Subscribed
    • rhumba-tz.com
    • Already have a WordPress.com account? Log in now.
    • rhumba-tz.com
    • Subscribe Subscribed
    • Sign up
    • Log in
    • Report this content
    • View site in Reader
    • Manage subscriptions
    • Collapse this bar
 

Loading Comments...