Daily Kiswahili Joke

MKE HUYU BASIIII

Naomba nikiri simlaumu mtu, walinikanya wakanambia niachane na hawa watani zangu ‘wakunyumba’, nikabisha. Nikapata mrembo mzuri sana nikawataarifu ndugu kuwa nataka kumuoa, wakanikanya sikusikia sasa leo nimerudi na rafiki zangu […]

AMRI KUMI ZA MPIRA ENZI ZETU

Pamoja na sheria  17 za soka za FIFA kuwepo, enzi za utoto kulikuweko na sheria za soka ambazo ndizo zilizokuwa zinatambuliwa1.     Mwenye mpira ndie anaeamua nani atacheza.2.     Mtoto bonge ndie golikipa3.     Wachezaji wazuri ndio […]