DARASA LA MAPENZI YA KIBONGO SOMO LA KWANZA
Mapenzi ya Kibongo ni ya aina yake duniani, hivyo nimeona leo nitoe somo ili kuwasaidia mayanki namna ya kuishi kwa furaha katika mapenzi ya Kibongo. Kwanza mapenzi ya Kibongo hayashughuliki […]
Mapenzi ya Kibongo ni ya aina yake duniani, hivyo nimeona leo nitoe somo ili kuwasaidia mayanki namna ya kuishi kwa furaha katika mapenzi ya Kibongo. Kwanza mapenzi ya Kibongo hayashughuliki […]
YAANI hapa mjini ukipaangalia kwa makini unaweza ukajikuta unacheka peke yako barabarani watu wakadhani we chizi kumbe unakumbuka uchizi wa wakazi wa mjini. Yaani kuna vitu watu wanafanya havieleweki, wanajitengenezea […]
Mkuu wa Mkoa: Mama mi ni Mkuu wa Mkoa, nimekuja kuongea kuhusu mwanaoMama: Kuna nini tena baba?Mkuu wa Mkoa: Si unajua mwanao alienda na wenzie Uingereza?Mama: Nilikuwa sijui babaMkuu wa […]
WANAUME kadhaa walikuwa kwenye semina kanisani wakipewa mafunzo ya namna ya kuishi vizuri katika ndoa. Mchungaji akawauliza ni wangapi wanakumbuka mara ya mwisho walipowaambia wake zao kuwa wanawapenda. Wengine wakasema […]
Juma kaenda kuomba kazi ya uboi kwa muhindi, mambo hayakuwa mabaya kwa wiki mbili za kwanza. Siku hiyo ndugu zake bosi wakamtembelea bosi, Juma akaambiwa apange meza ya chakula, akaweka vizuri sahani, visu, vijiko lakini akasahau kuweka uma. Wageni wote wakawa wamekaa kwenye viti vyao , Juma akiwa nje anapumzika, […]
Mheshimiwa mmoja baada ya kupata cheo si akapewa nyumba mitaa ya watu wenye pesa, akahamia huko akiwa na mke na mwanae. Siku moja mwanae aliyekuwa kazoea maisha ya Uswazi akawa […]
Jana usiku nilisikia mazungumzo haya kutoka kituo kimoja cha redio fm, MTANGAZAJI: Asante kwa kutupigia simu umepata bahati ya kuingia kwenye shindano letu la zawadi kubwa ya mwaka huu, uko […]
Hadithi hadithi…..Katika maisha kuna mambo mtu unaweza uafanya yakakufedhehesha ukawa kila ukikumbuka maisha yako yote unasononeka au unaishia kucheka ukikumbuka akili zako za kitoto. Kuna jambo liliwahi kunikuta wakati niko […]