Uncategorized

MKE HUYU BASIIII

Naomba nikiri simlaumu mtu, walinikanya wakanambia niachane na hawa watani zangu ‘wakunyumba’, nikabisha. Nikapata mrembo mzuri sana nikawataarifu ndugu kuwa nataka kumuoa, wakanikanya sikusikia sasa leo nimerudi na rafiki zangu […]