Juma lete nyumaa

Juma kaenda kuomba kazi ya uboi kwa muhindi, mambo hayakuwa mabaya kwa wiki mbili za kwanza. Siku hiyo ndugu zake bosi wakamtembelea bosi, Juma akaambiwa apange meza ya chakula, akaweka vizuri sahani, visu, vijiko lakini akasahau kuweka  uma. Wageni wote wakawa wamekaa kwenye viti vyao , Juma akiwa nje anapumzika, […]