rhumba-tz.com

SANAA

  • JFK BAND
  • Daily Kiswahili Joke
  • Interviews
  • Iringa
  • Muziki Muziki
By rhumbatz on August 11, 2020 • ( Leave a comment )

IMANI ZA UCHAWI KATIKA MUZIKI WA KISASA

Imani ya uchawi ni utamaduni ambao umekuweko katika  jamii zote za binaadamu kwa maelfu ya miaka. Historia na maandiko ya dini mbalimbali yanatukumbusha hilo na kulilaani. Huwa inategemewa kuwa kadri […]

By rhumbatz on August 11, 2020 • ( 1 Comment )

LEO NIMEKUMBUKA MJI WA IRINGA NILIPOKUWA MTOTO sehemu ya 14

Watoto wa Barabara Mbili tulikuwa tunafahamiana maana mtaa wenyewe haukuwa mrefu sana, pia tuliwafahamu wazee wa mtaa ule. Kati ya ninao wakumbuka walikuwa Mzee Kasingo, Mzee George Masasi, huyu alikuwa […]

By rhumbatz on August 10, 2020 • ( 1 Comment )

LEO NIMEKUMBUKA MJI WA IRINGA NILIPOKUWA MTOTO sehemu ya 13

Mjomba wangu Thadei alikuwa mdogo wa mwisho wa mama, baada ya mama kuolewa, mjomba wangu alianza kuishi na wazazi wangu, nimezaliwa na mpaka napata akili mjomba wangu alikuwa pembeni yangu. […]

By rhumbatz on August 10, 2020 • ( Leave a comment )

UNAWAKUMBUKA SUNBURST?

Hawa ndio Sunburst bendi iliyofanya vizuri sana mwanzoni mwa miaka ya 70,mwaka 1973 ikashinda mashindano ya Bendi Bora Dar es Salaam na kuwa ya kwanza. Toka kushoto Toby John Ejuama […]

By rhumbatz on August 9, 2020 • ( 3 Comments )

TUKUMBUSHANE BENDI ZA VIJANA ZA DAR ES SALAAM MIAKA YA 60

Siku moja niliuliza swali hili……Katika miaka ya 60 hadi katikati ya 70 kulikuwa na bendi nyingi za vijana ambazo unaweza kulinganisha na wanamuziki wa sasa wanaojulikana kama kizazi kipya. Katika […]

By rhumbatz on August 9, 2020 • ( 1 Comment )

‘PRESHA IMEPANDA MUME WANGU’

Jamaa karudi ghafla nyumbani si akasikia sauti za ajabu toka chumbani kwake, akapiga ukelele na kuvunja mlango akamkuta mkewe akitetemeka;Jamaa: We vipi?Mke: Presha imepanda mume wangu, jamaa akakimbia sebuleni ili […]

By rhumbatz on August 8, 2020 • ( 1 Comment )

LEO NIMEKUMBUKA MJI WA IRINGA NILIPOKUWA MTOTO sehemu ya 12

Nilikuwa na miaka minne nilipokwenda kuishi kwa bibi kwa muda. Wazazi wangu walikuwa wameenda Dar es Salaam kwa ajili ya likizo wakaenda na mdogo wetu Eva ambaye alikuwa na umri […]

By rhumbatz on August 8, 2020 • ( 1 Comment )

LEO NIMEKUMBUKA MJI WA IRINGA NILIPOKUWA MTOTO sehemu ya 11

Nyumba ambapo kilipo kilabu cha Barabara Mbili, ilikuwa nyumba ya babu yangu, aliijenga kati ya mwaka 1952 na 1954. Nina nakala za barua yake ya tarehe 31 Agosti mwaka 1953, […]

By rhumbatz on August 7, 2020 • ( Leave a comment )

Urafiki Jazz Band

Bendi ya Urafiki (Urafiki Jazz Band), ilianzishwa mwaka 1970 na kiwanda cha nguo cha Urafiki kilichopo Ubungo. Jina rasmi la kiwanda lilikuwa ni FRIENDSHIP TEXTILE MILL. Kiwanda kilijengwa kwa msaada […]

By rhumbatz on August 7, 2020 • ( Leave a comment )

The Strokers wa Upanga

‹ Newer 1 2 3 4 5 6 7 8 9 Older ›

WADAU

  • 20,267 hits

VIDEO ZETU

https://www.youtube.com/watch?v=mVhLujmTLQg

BURUDIKA HAPA

Follow Us

  • Facebook
  • X
  • Instagram
Blog at WordPress.com. |
rhumba-tz.com
Blog at WordPress.com.
  • Subscribe Subscribed
    • rhumba-tz.com
    • Already have a WordPress.com account? Log in now.
    • rhumba-tz.com
    • Subscribe Subscribed
    • Sign up
    • Log in
    • Report this content
    • View site in Reader
    • Manage subscriptions
    • Collapse this bar
 

Loading Comments...